Nimekusogezea hapa ratiba ya ASFC..



Mchezo wa kwanza utakuwa  kati ya Stand United  dhidi ya Njombe  Mji mchezo utakaopigwa mnamo tarehe 30/03  majira ya 16:00 jioni.

Mchezo wa pili ni ule wa Tanzania Prisons dhidi ya  JKT  Tanzania  na utapigwa tarehe 31/03  saa 16:00 jioni.

Mtanange mwingine ni kati ya Azam fc dhidi ya  Mtibwa  Sugar utapigwa mnamo tarehe
31/03 majira ya saa 19:00 usiku.

Michezo hiyo itakamilishwa na mpambano kati ya Singida Uinted watakao wakaribisha Yanga mnamo tarehe 01/04  saa 16:00 jioni

No comments:

Note: only a member of this blog may post a comment.