Yanga kicheko CAF Confederation cup


Klabu ya Yanga jana ilipata ushindi wa kwanza kwenye mchezo wa kundi D kombe la klabu bingwa Afrika (Caf Confederation Cup) baada ya kuwafunga USM Alger kwa magoli mawili kwa moja (2-1) magoli yakifungwa na Kaseke pamoja Makambo.

-Kwa ushindi huo klabu ya Yanga imefikisha pointi 4 huku mchezo mwingine wa kundi D Rayon Sports imefufua matumaini ya kufuzu Robo fainali baada ya ushindi wa jana wa magoli mawili kwa moja (2-1) dhidi ya Gor Mahia ya Kenya.

Msimamo
                                P   GD    Pts
1-Gor Mahia          5      4       8
2-USM Alger         5       4       8
3-Rayon  Sports   5       0       6
4-Yanga Sc           5      -8       4

Mechi za mwisho
Rayon Sports vs Yanga
USM Alger vs Gor Mahia


No comments:

Note: only a member of this blog may post a comment.