+ PICHA: WAPINZANI WA SIMBA KLABU BINGWA (AL-MASRY) WATUA NCHINI..


‪Wapinzani wa Simba kombe la Shirikisho Afrika, Klabu ya Al Masry kutoka Misri tayari imeshawasili jijini Dar Es Salaam leo alfajiri kwa ajili ya mchezo wa siku ya Jumatano.‬ ‪

Al Masry imewasili na msafara wa watu 40 na kufikia katika hoteli ya Hyatt (Kilimanjaro Kempsinki).‬




No comments:

Note: only a member of this blog may post a comment.