Yanga Uso Kwa Uso Na Singida United Robo Fainali Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)


Image may contain: one or more people
Droo ya robo fainali ya  Kombe La Shirikisho 'ASFC' imefanyika leo ijumaa ya March 02 na kutoa matokeo yafuatayo.

Klabu ya Yanga watakipiga na klabu inayonolewa na kocha wa zamani wa klabu hiyo Hans Van Pluijm, Singida United...





Tarehe ya michezo hii itatangazwa hapo baadae.

No comments:

Note: only a member of this blog may post a comment.