Matokeo ya CAF Champions league na timu zilizofuzu hatua ya robo fainali.
Miongoni mwa timu zilizotupwa nje ni pamoja na timu anayoitumikia Mtanzania Simon Msuva ambayo kwa alama ilizokua nazo ilihitaji matokeo ya ushindi dhidi ya TP Mazembe na hivyo kushindwa kusonga mbele baada ya kuambulia sare ambayo iliwanufaisha Mazembe.
Matokeo kamili haya hapa.
TP Mazembe ๐จ๐ฉ 1-1 ๐ฒ๐ฆDifaa El Jadida
MC Alger ๐ฉ๐ฟ 1-2 ๐ฉ๐ฟ ES Sรฉtif
ZESCO United ๐ฟ๐ฒ 1-1 ๐น๐ณ Etoile du Sahel
1ยบ de Agosto ๐ฆ๐ด 2-1 ๐ธ๐ฟ Mbabane Swallows
AS Togo Port ๐น๐ฌ 0-0 ๐ฒ๐ฆ Wydad Casablanca
Mamelodi Sundowns ๐ฟ๐ฆ 0-0 ๐ฌ๐ณ Horoya AC
Al Ahly๐ช๐ฌ 4-3 ๐บ๐ฌKCCA
Township Rollers๐ง๐ผ 0-0 ๐น๐ณES Tunis
Timu zilizofuzu hizi hapa
- Al Ahly ๐ช๐ฌ
- Esperance Tunis ๐น๐ณ
- TP Mazembe๐จ๐ฉ
- ES Sรฉtif๐ฉ๐ฟ
- Wydad Casablanca ๐ฒ๐ฆ
- Horoya AC ๐ฌ๐ณ
- Etoile du Sahel ๐น๐ณ
- 1ยบ de Agosto ๐ฆ๐ด

No comments:
Note: only a member of this blog may post a comment.