Matokeo ya CAF Champions league na timu zilizofuzu hatua ya robo fainali.


Timu 8 kati ya 16 zilizokuwa zikiwania kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya CAF Champions league zimefanikiwa kusonga mbele baada ya michezo ya mwisho ya hatua ya makundi kupigwa jana.


Miongoni mwa timu zilizotupwa nje ni pamoja na timu anayoitumikia Mtanzania Simon Msuva ambayo kwa alama ilizokua nazo ilihitaji matokeo ya ushindi dhidi ya TP Mazembe na hivyo kushindwa kusonga mbele baada ya kuambulia sare ambayo iliwanufaisha Mazembe.


Matokeo kamili haya hapa.
TP Mazembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ 1-1 ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆDifaa El Jadida
MC Alger ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ 1-2 ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ ES Sรฉtif
ZESCO United ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ 1-1 ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Etoile du Sahel
1ยบ de Agosto ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด 2-1 ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟ Mbabane Swallows
AS Togo Port ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฌ 0-0 ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Wydad Casablanca
Mamelodi Sundowns ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ 0-0 ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ Horoya AC
Al Ahly๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ 4-3 ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌKCCA
Township Rollers๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ 0-0 ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณES Tunis


Timu zilizofuzu hizi hapa


  1. Al Ahly ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
  2. Esperance Tunis ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ
  3. TP Mazembe๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
  4. ES Sรฉtif๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ
  5. Wydad Casablanca ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ
  6. Horoya AC ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ
  7. Etoile du Sahel ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ
  8. 1ยบ de Agosto ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด

No comments:

Note: only a member of this blog may post a comment.