DEAL DONE: Yanga Yampa Mkataba Nyota Huyu Kumrithi Ngoma
-Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Benin, Marcelin Koukpo mwenye umri wa miaka 23 kutoka timu ya Les Buffles Fc du Borgou ya Benin.
>>>>TETESI ZOTE ZA USAJILI YANGA SC<<<<<
-Koukpo ambaye amepewa jezi namba 11 iliyokuwa inavaliwa na Donald Ngoma amesaini kandarasi ya miaka miwili na ataungana timu Kenya kwenye michuano ya Sportpesa Super Cup.
@yossima Sitta Jr.
>>>>TETESI ZOTE ZA USAJILI YANGA SC<<<<<
-Koukpo ambaye amepewa jezi namba 11 iliyokuwa inavaliwa na Donald Ngoma amesaini kandarasi ya miaka miwili na ataungana timu Kenya kwenye michuano ya Sportpesa Super Cup.
@yossima Sitta Jr.