Azama Yamnasa Kocha Wa Yanga.


Aliyekuwa kocha wa zamani wa klabu za Yanga na Mbeya city, Juma Mwambusi amejiunga na klabu ya Azam kama kocha msaidizi wa klabu hiyo. Mwambusi amesaini kandarasi ya miaka miwili na kuungana na kocha mkuu Hans Van der Pluijm ndani ya Azam Fc.