Jerry Muro Atupa Kombora Kwa Manara Baada Ya Kuwarushia Kombora Yanga, Je Unaikumbuka Ishu Ya Simba Kushindia Mihogo?.
Goli la Bale. ..linaweza kukufanya usahau kuwa Wachezaji wa Yanga hawajalipwa mishahara miezi 3 mfulululizo
Katika majibizano hayo Muro alianza kwa kumrushia kijembe Manara kwa fumbo na Manara Kurejesha huku akimkumbusha kuhusiana na ishu ya kushindia Mihogo.
Majibizano hayo yalikuwa kama ifuatavyo.
No comments:
Note: only a member of this blog may post a comment.