Matokeo Ya UEFA Champions League, Manchester United Yatupwa Nje..
Klabu ya Sevilla imeikatia tiketi klabu ya Manchester United baada ya kuinyuka kwa jumla ya goli 2-1 na hivyo kuindosha kwa agrigate ya goli 2-1 kutokana na sare tasa walioioata mchezo wa kwanza Sevilla akiwa nyumbani.
Join us on WHATSAPP
Usipitwe Na Breaking News Za Soka: Jiunge nasi kupitia Facebook, Bofya LIKE Button...
No comments:
Note: only a member of this blog may post a comment.