Samatta azidi kufumania nyavu, Genk ikitinga makundi ya Europa league.


Timu anayocheza Mtanzania Mbwana Ally Samatta KRC Genk imefanikiwa kutinga hatua ya Makundi ya Uefa Europa League baada ya kufanikiwa kuitoa Brøndby kwa jumla ya magoli 9-4 baada ya mchezo wa awali kushinda kwa magoli 5-2.

makundi ya Uefa Europa league yatapangwa leo.

FT Brøndby 2-4 Genk      Agg(4-9)
    34' Wilczek  14' Malinovskiy
    58' Larsson  32' N'Dongala
                           66' Dewaest
                           87' Samatta


No comments:

Note: only a member of this blog may post a comment.