WASHINDI WA TUZO ZA MO SIMBA AWARDS 2018


👉Tuzo ya Benchi la Ufundi imekwenda kwa MaKocha
Pierre Lechantre Masoud Djuma
Mohammed Aymen benchi zima la ufundi la klabu hiyo .

👉Goli bora la mwaka la Simba SC  mshindi n John Bocco  ,goli alilofunga katika  mchezo dhidi ya Mwadui FC .

👉Mchezaji Bora chipukizi  wa klabu ya Simba SC Rashidi Juma

👉Mshambuliaji  bora wa mwaka wa Mo Simba Awards 2018 ni Emmanueli  Okwi bora

👉Kiungo Bora wa Mwaka Simba SC  Tuzo imekwenda kwa  Shiza Ramadhani Kichuya

👉Erasto Nyoni  ameshinda tuzo ya Beki  bora wa mwaka wa klabu ya soka ya simba .

👉Kipa Bora wa Mwaka klabu ya  SimbaSC ni Aishi Manula

👉Mhamasishaji bora wa mwaka Simba SC ni Haji Manara

👉Tuzo ya Mhamasishaji bora wa mwaka kwenye mitandao ya kijamii imekwenda kwa Mwana FA na Salama Jabiri.

👉Tuzo ya Shabiki bora wa mwaka imekwenda kwa Marehemu Bi Fihi Kambi RIP.

👉Tuzo ya Tawi bora la Mwaka Simba SC imekwenda katika tawi la  Ubungo Terminal.

👉Kiongozi bora wa Mwaka Simba SC tuzo imekwenda kwa Kaimu Rais wa  klabu ya Simba SC Salimu Abdallah 'Try Again

👉Mchezaji bora wa Mwaka Captain John Bocco.

👉Mchezaji bora wa kike Zainabu Rashidi

👉Tuzo ya Heshima imekwenda kwa mchezaji wa zamani wa klabu ya soka ya Simba Suleiman Matola

👉Tuzo ya mchakato wa mabadiliko imekwenda kwa wote walio husika .

©Sokaplace2018

No comments:

Note: only a member of this blog may post a comment.