CECAFA CUP YAENDELEA LEO MOZAMBIQUE YACHAPA MTU GOLI 3-0
Katika mchezo wa awali ambao umezikutanisha timu za mataifa ya Comoros Islands na Mozambiqu umemalizika kwa Mozambique kuibuka na ushindi wa magoli 3-0 yaliyopachikwa kimiyani na Jeitoso VB goli 1, huku Luis Miquissone akipachika magoli 2.
Mchezo mwingine ulikuwa baina ya Madagascar na Seychelles na mchezm huo umemalozika kwa sare ya goli 1-1 ambapo Joatombo Bourahim ameifungia Madagascar na Eric Millie akiiswazishia Seychelle.
Aidha michuano hiyo inatarajiwa kuendelea kesho kwa michezo miwili ya kundi B na ratiba kamili hii hapa.
Angola v Mauritius (KO 17h00 local, 15h00 GMT)
Botswana vs Malawi (KO 19h30 local, 17h30 GMT)
Msimamo wa makundi.
Grouo A
Group A P W D L GF GA Pts
Madagascar 2 1 1 0 3 2 4
Mozambique 2 1 0 1 4 2 3
Seychelles 2 0 2 0 2 2 2
Comoros Islands 2 0 1 1 1 4 1
Group B.
Group B P W D L GF GA Pts
Botswana 1 1 0 0 2 1 3
Mauritius 1 1 0 0 1 0 3
Angola 1 0 0 1 1 2 0
Malawi 1 0 0 1 0 1 0
Group A P W D L GF GA Pts
Madagascar 2 1 1 0 3 2 4
Mozambique 2 1 0 1 4 2 3
Seychelles 2 0 2 0 2 2 2
Comoros Islands 2 0 1 1 1 4 1
Group B.
Group B P W D L GF GA Pts
Botswana 1 1 0 0 2 1 3
Mauritius 1 1 0 0 1 0 3
Angola 1 0 0 1 1 2 0
Malawi 1 0 0 1 0 1 0
No comments:
Note: only a member of this blog may post a comment.