Simba Waanza Mazungumzo Na Wakal Wa Nyota Huyu.


Huyu anaitwa kiungo Mestro au rasta wa Gor Mahia, Francis Kahata Nyambura alizaliwa Ruiru Kenya may 04, 1992 ana umri wa miaka 26

Tayari klabu ya Simba Sc imeanza mazungumzo na wakala wa mchezaji huyo ili aweze kujiunga na timu hiyo. Kahata ambaye anacheza namba 8 au 10 amewavutia Simba kwenye michuano ya kombe la Sportpesa Super Cup iliyomalizika hivi karibuni.

Kocha wa Simba, Masoud Djuma tayari aliwasilisha jina la Kahata  kwa mabosi wa klabu hiyo baada ya kuisha kwa michuano ya Sportpesa Super Cup.

@yossima Sitta Jr.